February 26, 2018

Iraq imewahukumu adhabu ya kifo wanawake 15 raia wa Uturuki,



MAHAKAMA nchini Iraq imewahukumu adhabu ya kifo wanawake 15 raia wa Uturuki, baada ya kupatiakana na hatia ya kujiunga na kundi la kigaidi la Islamic State (IS).
Kuna taarifa kuwa, baadhi ya wanawake hao wamehukumiwa kifo, wengine walihukumiwa kifungo cha maisha.
Wanawake hao wamekiri kuolewa na wapiganaji wa Islamic State au waliwasaidia kufanya mashambulizi ya kigaidi.
Maelfu ya raia wa kigeni wamepigana na kuuliwa wakiwa na wapiganaji wa IS nchini Iraq na Syria.
Serikali ya Iraq imatangaza kumalizika kwa vita na kundi hilo Desemba mwaka jana.
Licha ya IS kutimuliwa kutoka ngome zake kuu, kundi hilo limeendelea kufanya mashambulizi ya kujitoa mhanga na mashambulizi mengine.
Wanawake hao wanaotajwa kuwa kati ya umri wa miaka 20 hadi 50, walikuwa wamevalia nguo nyeusi wakiwa mahakamani mjini Baghdad, wanne kati yao walikuwa na watoto wadogo.
Katika kujitetea, mmoja wa wanawake hao, alidai mbele ya Mahakama kuwa alishiriki katika vita dhidi ya wanajeshi wa Iraq akiwa na kundi na IS.
Takriban wanawake 560 na watoto 600 wanashikiliwa na serikali ya Iraq kwa tuhuma za kuhusishwa na matukio ya kigaidi au kuwa na undugu na wapiganaji wa IS.
Mapema mwezi huu, mwanamke raia wa Uturuki alihukumiwa adhabu ya kifo na wengine 10 wakahukumiwa kifungo cha maisha 

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mbeya leo imemhukumu Mbunge wa Mbeya Mjin



MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mbeya leo imemhukumu Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kwa jina la Sugu kifungo cha miezi mitano jela baada ya kupatikana na hatia ya kumkashifu Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Katibu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Masonga pia amehukumiwa kifungo kama hicho.
Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Michael Mteite ametoa hukumu hiyo leo saa tatu asubuhi. Kwa mujibu wa Hakimu Mteite, washitakiwa hao wana hatia kwa makosa waliyoshitakiwa.
Baada ya kutolewa kwa hukumu hiyo, Wakili wa washitakiwa, Peter Kibatala aliiomba mahakama hiyo kutoa adhabu mbadala kwa wateja wake.
Upande wa Mashitaka uliiomba Mahakama itoe adhabu kali ili liwe fundisho kwa watu wengine kwa maelezo kuwa, kauli za washitakiwa hao zimemfedhehesha Rais wa Tanzania.
Mahakama imekubaliana na upande wa mashitaka.
Sugu na Masonga walikuwa wanakabiliwa na shitaka moja la kutumia lugha ya fedheha dhidi ya Rais John Magufuli katika mkutano wa hadhara wa Mbunge huyo, uliofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Mwenge.
Januari 16, mwaka huu washitakiwa hao, walifikishwa mahakamani hapo na kusomewa shitaka moja la kutumia lugha ya fedheha dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

'Freemason' mbaroni akituhumiwa kubaka,



POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam wamemkamata mkazi wa Mwenge jijini humo, Rajabu Mohamedi (25) maarufu kwa jina la Rajeshi, kwa tuhuma za kufanya unyang’anyi wa kutumia nguvu, kubaka wanawake na kuwadhalilisha.
Kamanda wa kanda hiyo, Lazaro Mambosasa amewaeleza waandishi wa habari leo kuwa, mtuhumiwa huyo alikamatwa jana Februari 25 saa 4.30 usiku maeneo ya Kinondoni akiwa anatumia gari namba T 172 BLH aina ya Fun Cargo.
Kamanda Mambosasa amesema, mtuhumiwa huyo anadaiwa kuwakamata wanawake kwa nguvu na kuwaingiza kwenye gari na kuwalaghai kuwa ni mfanyabiashara na wakishaingia hutumia nguvu kuwanyang’anya vitu vilivyomo ndani ya pochi zao.
Kwa mujibu wa kamanda huyo, baada ya kufanya hivyo mtuhumiwa huwazungusha wanawake hao barabarani huku akiwatisha kuwa yeye ni ‘Freemason’ na kuwa atawaua kwa kuwanyonya damu au kuwakata sehemu za miili yao.
“Kupitia vitisho hivyo, huwalazimisha wanawake hao kutoa namba zao za siri ‘password’ ya simu zao pamoja na za kadi zao za benki na kwenda kuwaibia fedha zao kwenye ATM, baada ya hapo huwaingilia na kuwafanyia udhalilishaji na kwenda kuwashusha na kuwatelekeza kwenye vichochoro” amesema.
Amesema wanawake wengi wamefanyiwa hayo lakini ni wachache wenye ujasiri walitoa ripoti kuhusu matukio hayo na ndipo polisi walipofuatilia na kumkamata mtuhumiwa.
“Mtuhumiwa huyu amekuwa akisaidiana na wenzake ambao bado tunawatafuta na wamekuwa wakiwafanyia wanawake ukatili, mpaka sasa tu kesi tatu ambazo zimeripotiwa…tunakamilisha taratibu za ushahidi ili tuweze kumfikisha mahakamani” amesema Kamanda Mambosasa.

RAIS Salva Kiir amewaomba wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kusaidia kupatikana kwa amani




RAIS Salva Kiir amewaomba wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kusaidia kupatikana kwa amani ya kudumu latika taifa hilo na nchi nyingine za Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
Kiongozi huyo wa Sudan Kusini ametoa ombi hilo wakati wa mkutano wa 19 wa Wakuu wa Nchi za EAC jijini Kampala, Uganda.
Ametumia nafasi hiyo kuwaomba rasmi viongozi wa EAC kuongeza juhudi zao za amani ya kudumu katika nchi za Sudan Kusini, Burundi na DRC, akisisitiza vita na migogoro ya mara kwa mara inachangia kurudisha nyuma maendeleo ya ukanda wa jumuiya hiyo yenye nchi sita ambazo ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na Sudan Kusini.
Aligusia pia umuhimu wa EAC kuiunga mkono Sudan Kusini ili ichangie maendeleo katika sekta za miundombinu, afya na nyinginezo ndani ya jumuiya.
Mwenyekiti wa EAC, Rais Yoweri Museveni wa Uganda aliwataka wakuu wengine wa nchi za jumuiya hiyo kuwaunganisha raia wake zaidi ya milioni 160 na miradi ya uwekezaji wa ndani katika miundombinu ili kukuza tija katika uzalishaji na mengineyo.
“Wakati maeneo mengine ya Afrika yakitambaa kimaendeleo, Ukanda wa Afrika Mashariki unakua kwa kasi. Kwa kiasi fulani, hii ni kwa sababu ya kuimarika kwa mawasiliano na kuimarisha miundombinu,” alisema. Museveni amezitaka pia nchi kukabiliana na changamoto za kibiashara ili thamani ya fedha katika uwekezaji wa miundombinu ionekane.
Wakati huohuo, Waziri anayeshughulikia nishati ya Petroli Sudan Kusini, Ezekiel Gatkouth amepinga pendekezo la kumtaka Rais Kiir aachie ngazi ili kupisha mchakato wa amani nchini hapa ikiwa ni pamoja na kuandaa uchaguzi mkuu.
Aliyasema hayo jijini hapa wakati wa mkutano ulioshirikisha wadau wa mafuta na umeme. “Kwa sisi wengine, tunataka aendelee, Makamu wa Kwanza wa Rais, Taban Deng Gai aendelee, Makamu wa Rais, James Wani aendelee… tutapanua wigo wa uongozi katika kuhakikisha malengo yetu ya kupata amani yanatimia,” alisema Gatkuoth.
Kiongozi huyo wa zamani wa waasi aliyegeuka kipenzi cha Serikali na kuteuliwa kuwa Waziri mwaka 2016 baada ya kuondoka madarakani kwa Makamu wa Rais, Riek Machar, anasema ni vyema kila mmoja, bila kujali ni adui au la, akapewa nafasi ya kushirikiana kutafuta amani ya kweli ya Sudan Kusini, badala ya kubaguana.
Uongozi wa SPLM-IO unaoongozwa na Taban Deng Gai na Rais Kiir mwenyewe, unapinga ushiriki wa Makamu wa Rais wa zamani, Machar katika Serikali ya muda wakiamini anaweza kuwavuruga.
Hata hivyo, wafuasi wa Machar anayeishi uhamishoni Afrika Kusini hawajawekewa pingamizi. Waziri Gatkuoth amesema katika mji anaotoka wa Upper Nile, raia waliokimbia machafuko wameanza kurejea nyumba, akifafanua kuwa waliorejea ni wastani ya asilimia 90 ya watu waliokuwa wamekimbia.
“Watu wameitikia vyema mwito wa kurejea nyumba. Wanarejea na kuimarisha amani nchini baada ya kuridhishwa na hali ya amani ilivyo sasa. Wanarejea kuja kuijenga nchi,” alisema Gatkuoth.
Wakati wa kuanza kwa mapigano ya wenyewe kwa wenyewe Desemba mwaka 2013, alikuwa mfungwa wa zamani wa kisiasa, alipoachiwa alijiunga na waasi wa Machar kabla ya kujiengua na kuungana na upande wa Taban Deng Gai.

February 24, 2018

Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema picha za satelaiti zinaonyesha kuwa vikosi vya Myanmar vimeharibu vijiji 55

Image result


Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema picha za satelaiti zinaonyesha kuwa vikosi vya Myanmar vimeharibu vijiji 55 vya Warohingya katika eneo la kaskazini mwa jimbo la Rakhine katika miezi ya karibuni. 

Shirika hilo limeilaani serikali ya Myanmar kwa kile ilichosema ni kufuta ushahidi katika maeneo ambayo wanajeshi wanatuhumiwa kufanya maovu. Maeneo ya kaskazini mwa jimbo la Rakhine yamebaki bila wakaazi wa Rohingya tangu Agosti mwaka jana, wakati ukandamizaji wa kijeshi uliposababisha kukimbia karibu watu 700,000 wa jamii hiyo ya walio wachache. 

Wengi wao walilazimika kuvuka mpaka na kuingia Bangladesh. Human Rights Watch imesema maovu mengi yalitekelezwa katika vijiji hivyo na vilistahili kuhifadhiwa ili wataalamu walioteuliwa na Umoja wa Mataifa waweze kuorodhesha unyanyasaji uliofanywa na kuchunguza ushahidi kwa makini kwa ajili ya kuwatambua waliohusika.

Umoja wa Ulaya umeahidi kutoa yuro milioni 50 kwa jeshi la pamoja la kupambana na ugaidi katika eneo la Sahel la Afrika Magharibi.


Image result for UIaya Jean-Claude Juncker


Umoja wa Ulaya umeahidi kutoa yuro milioni 50 kwa jeshi la pamoja la kupambana na ugaidi katika eneo la Sahel la Afrika Magharibi.

 Akizungumza leo katika mkutano wa viongozi wa Ulaya mjini Brussels, Rais wa Halmashauri Kuu ya UIaya Jean-Claude Juncker alisema fedha hizo za ziada zitasaidia katika masuala ya utendaji wa jeshi hilo. 

Ametoa wito kwa karibu viongozi 30 wa Umoja wa Ulaya na wa Afrika wanaokutana mjini Brussels, kuunga mkono juhudi za Burkina Faso, Chad, Mali, Mauritania na Niger kwa kutoa mchango katika kiwango kinachostahili ili kuifanikisha operesheni ya jeshi hilo la pamoja. Kikosi hicho

 kinachofahamika kama G5 Sahel chenye askari 5,000 kinatafuta karibu yuro milioni 400 kwa ajili ya operesheni yake kwenye maeneo hasa ya mipakani, ikiwa ni pamoja na karibu na Libya - eneo linalotumiwa sana na wahamiaji wa Kiafrika kufunga safari za kuingia Italia.

Waziri Mkuu wa India Narendra Modi amelaani vikali siasa za kujitenga

Image result for Waziri Mkuu wa India Narendra Modi


Waziri Mkuu wa India Narendra Modi amelaani vikali siasa za kujitenga ikiwa ni katika ishara ya onyo kwa mwenzake wa Canada, ambaye ziara yake ya wiki nzima nchini India imegubikwa na madai kuwa utawala wake hauwachukulii hatua watu wa itikadi kali wa madhehebu ya Sikh.

Akiwa amesimama kando ya Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau, ambaye yuko ziarani India, Modi alisema nchi yake haitawavumilia wale wanaotaka kuupinga uadilifu wake. 

Amesema hakuna nafasi ya watu wanaoitumia dini vibaya kwa ajii ya maslahi yao ya kisiasa na kueneza siasa za utengano. Ijapokuwa hakuwataja Masikhi kwa jina, maneno yake yalionekana kuashiria madai kutoka kwa baadhi ya watu wa jamii hiyo wanaotaka kuwa na jimbo lao kutoka kwa India.

Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Saudi Arabia Adel aj-Jubeir amesema kuwa nchi hiyo haitaathirika na uamuzi wa Ujerumani


Image result for Kigeni wa Saudi Arabia Adel aj-Jubeir


Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Saudi Arabia Adel aj-Jubeir amesema kuwa nchi hiyo haitaathirika na uamuzi wa Ujerumani kusitisha uuzaji wa silaha katika nchi 
zinazohusika na vita vya Yemen. 

Al-Jubeir amesema inashangaza kuwa Ujerumani inaonekana kubagua katika kile inachokiuza na isichokiuza wakati kuna vita vya halali, na hilo halisaidii katika kuonyesha hali ya kuaminika kwa serikali ya Ujerumani.

 Mnamo mwezi Januari, Ujerumani ilisema itasitisha uuzaji wa silaha katika nchi zinazohusika katika mgogoro wa Yemen. Saudia na Umoja wa Falme za Kiarabu ni miongoni mwa nchi 10 zilizonunua silaha kwa wingi kutoka Ujerumani katika mwaka wa 2017.

 Muungano wa nchi za Kiarabu umekuwa ukipigana nchini Yemen dhidi ya waasi wa Houthi wa madhehebu ya Shia tangu mwaka wa 2015. Muungano huo unajumuisha nchi kama Misri, Jordan, Bahrain, Kuwait na Umoja wa Falme za Kiarabu.

Shirikisho la Kandanda Duniani - FIFA limesema leo kuwa lina imani kubwa katika hatua zake za usalama

Image result for fifa


Shirikisho la Kandanda Duniani - FIFA limesema leo kuwa lina imani kubwa katika hatua zake za usalama 

zitakazowekwa wakati wa dimba la Kombe la Dunia nchini Urusi. Hii ni baada ya suala la uhuni wa mashabiki wa taifa hilo mwenyeji kujitokeza upya kufuatia matukio kadhaa ya vurugu yaliyowahusisha mashabiki wa klabu ya Spartak Moscow jana usiku ambapo polisi mmoja aliuawa kutokana na mshtuko wa moyo. Askari huyo alifariki katika hospitali ya mji wa kaskazini mwa Uhispania wa Bilbao.

 Polisi walikabiliana na mashabiki wa Spartak na Athletic kabla ya mchuano wa Europa League jana. FIFA imesema kuwa ina inaamini kabisa mipango yake ya usalama iliyowekwa na maafisa wa Urusi na Kamati ya Maandalizi. Imesema hilo lilidhihirika wazi wakati wa mashindano ya mwaka jana ya Kombe la Mashirikisho la FIFA yaliyoandaliwa Urusi.

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wanatofautiana kuhusu wazo la kuweka masharti mapya ya kupokea fedha




Image result for Viongozi wa Umoja wa Ulaya



Viongozi wa Umoja wa Ulaya wanatofautiana kuhusu wazo la kuweka masharti mapya ya kupokea fedha za Umoja wa Ulaya, ikiwemo kuonyesha mshikamano kuhusu utoaji hifadhi kwa wakimbizi miongoni mwa wanachama. Hayo yamejitokeza wakati viongozi hao wakikutana leo mjini Brussels kwa ajili ya mazungumzo ya mwanzo kuhusu mipango ya muda mrefu ya bajeti ya Umoja wa Ulaya. 

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel aliwaambia wabunge kuwa vigezo vya kugawa fedha kutoka Umoja wa Ulaya katika siku za usoni vinapaswa kuonyesha nia ya maeneo mengi na serikali za mitaa katika upokeaji na ushirikiano wa wakimbizi. 

Pendekezo lake limezusha hisia tofauti ambapo baadhi ya viongozi wa Ulaya wanasema lengo kuu la fedha za Umoja wa Ulaya ni kuzisaidia nchi masikini za umoja huo.

Rais wa Halmashauri Kuu ya Ulaya Jean-Claude Juncker ameonya kuwa hataki migawanyiko kuhusiana na bajeti isababishe mpasuko mkubwa kati ya mataifa wnaachama katika upande wa mashariki na magharibi mwa Ulaya.

Style tam ni ya hivi


Image result for staili ya kutombaImage result for staili ya kutomba





Style za kutombana za kumfikisha mwanamke kileleni
Inasemekana kuwa asilimia kubwa ya wanawake huwa hawafikii kabisa kilele kwa upungufu wa nyege au matatizo mengine ya kimaumbile tukiachilia mbali swala la 
kukeketwa.

Baadhi ya wanawake hufikia kilele mara moja tu (tena kwa shugulikiwa kisimi sio ule uhondo wa kumani) kila wanapofanya mapenzi/ngono na wachache wamejaaliwa na hupata uhondo wote wa kufanya mapenzi yaani wanaweza kufika kileleni zaidi ya mara mbili katika tendo/mzunguuko mmoja.
Ujuzi au utundu wa mwanaume hausaidii ikiwa mwanamke mwenyewe hajiamini na vilevile hajui ni kitu gani kina “kunyegesha”.
Mwanamke anasehemu mbili maalum zinazopelekea kufikia kilele ikiwa zitafanyiwa kazi vyema sehemu hizo ni Kisimi na “kipele G”
Wanawake wengi tunakasumba ya kukimbilia “mikao” migumu tukiwafikiria wanaume wetu, sasa mimi nasema hivi; ikiwa unamatatizo ya kufika kileleni hakikisha mnaanza na “mkao” ambao unajua wazi unakufikisha ktk dakika chache badala ya kukimbilia “doggy” ukijua wazi mumeo/mpenzi wako ana mboo fupi au hajui/hujui “kipele G” kiko wapi?
Kifo cha mende #1. Huu ni “mkao” wa kizamani au kilokole (kufanya mingine ni dhambi hahhahaha) ila mimi binafsi na ufagilia sana.
“Mkao” huu umeboreshwa na unaweza kuufanya katika “pembe” tofauti inategemeana na wepesi wako, Ila hizi pembe mbili nakupa hapa ni maalum kumuwezesha mwanamke afikie kilele.
Kama kawaida lala chali huku miguu imepanuliwa, wakati Jamaa yuko juu yako, kunja sehemu ya magoti kueleke kifuani, kisha egesha miguu yako kwenye mabega yake.
Hii itazidisha kina cha uke na kufanya uume uende chini zaidi na “kukandamiza” mwisho wa uke na ukitoka huko unasugua sugu “kipele G” kabla haujatoka kabisha na kulamba kisimi na midomo ya K na hivyo utapata raha katika sehemu zote za uke wako.
Kifo cha mende #2. Mwanamke juu….ukiwa tayari kalia “mzingo” kisha mpe ile ya 1-10 na fanya hii kwa ajili yako ondoa maswali yako kuwa “sijui anasikia raha, sijui sio hivi sijui nini” mh-mh wewe jifikirie mwenyewe kwanza, unajua hawa viumbe sio lazima wafike ndio wawe wamefurahia tendo bali kitendo cha wewe kuonyesha unafurahia au jinsi unavyoteseka kufika yeye anapata raha…..
Mara baada ya kufika sasa ndio anza kumfikiria yeye na hapo ndio anza kumpa mauno, mpe mbele-nyuma, huku na kule, juu-chini huku wakaza mboo yake namisuli ya uke…..vyovyote uwezavyo na kama umeumbwa ka’ mimi basi unaweza pata bao la pili na mzunguuko haujaisha pao!
Real entry (a.k.a Doggie). Hii ni tofauti kiduchu na ile ambayo wengi huwa mnaifikiria/fanya ambayo mwanamke huwa hafiki kiurahisi na hapo “fake kilele” hujitokeza kwa vile ama inauma au kachoka.
Ninachojaribu kusema hapa ni kuwa “chuma mboga/mbuzi kagoma” wanawake wengi huwa haiwafikishi kileleni na huwa tunafanya hivyo kwa ajili ya wanaume na wanaume huwafikisha haraka kutokana na kile kitendo cha kuona inaingia na kutoka na uzuri wa matako yako yanavyo “lindimika” ka’ jelly hahahahaha.
Wewe mwanamke ili ufike kileleni basi inakuwa hivi mwanaume analala chali huku kichwa kikiwa juu ya mto (ili aweze kuangalia kazi yako).
Wewe unatakiwa umpe mgongo alafu ingiza uume kisha “support” uzito wako kwa kushikilia godoro, Wakati wewe unaenda juu- chini, yeye akusaidie kwa kukushika kiuno au matako, hakikisha uume wote unaingia hadi mwishoni kwenye makende/pumbu pale alafu usiwahi kurudi juu hakikisha unajisugua kiaina ili kuona wapi panakunika alafu jiweke kwenye pembe hiyo.
Kumbuka wewe ndio “dereva” hapo kwa hiyo endesha vema kwani ukikosea kidogo tu atakuacha (kutokana na anachokiona).
Ukiona haiji haraka basi nyoosha miguu yako bila uume kutoka ukeni na hapo utakuwa umelalia tumbo kwenye mapaja yake na miguu yako inatazama uso wake, panua miguu yako vema kisha mpe “pumps” (rafiki yangu mmoja husema mpige tako hahahahaha)…..hapo lazima utafika tu…..
Vilevile unaweza simamia magoti na mikono (kama mnyama) panua miguu kidogo na Jamaa atapiga magoti nyuma yako na kuingiza uume kwenye uke, unapaswa kujituma kama ni ndani-nje, huku na kuko, mbele- nyuma, kuzunguusha kiuno chaguo ni lako, lakini ukifanya vyote ndio raha zaidi.
Chap-chap#1.
Hii inaweza ikafanywa bila kuondoa nguo zote unashusha kidogo hadi magotini “kitu na Box”, nah ii lazima wote muwe naminyege lundo. Alafu ikiwa wewe ni mfupi itakuwa ni kituko kwani itabidi upande juu ya “kistuli” au upange matofali kama sio kubebwa (inategemea mko ktk mazingira gani) ili uume uingie vyema na kwenda “kukandamiza” uke wako kwa ndani na wakati wa kutoka basi upitie vema kisimi.

Chap-chap#2. Anataka wewe akili iko kwenye kuosha vyombo n.k. Mpenzi wako kwanini umnyime ei? Simama alafu uiname kidogo, pitisha mate kidogo juu ya uke wako alafu ingiza na kidole ili mate hayo yalainishe njia…kisha panua mguu mmoja ili kuuwezesha uume uingie vizuri, ukishaingia rudisha mguu kidogo ili uume “usichomoke”, wakati jamaa anakwenda juu-chini mikono yake ichezee kisimi ili kuongeza raha ya mnachokifanya .
Ubavu #1(a.k.a 11).
Lalia ubavu na ugeukie upande wa pili, jamaa akiwa nyuma yako ataingiza uume ndani ya uke kwa kupitia nyuma, “mkao” huu hufanyika katika mitindo tofauti kama ilivyo kifo cha mende ila huu ni wa kivivu zaidi lakini itakufikisha kunako uhondo.

Ubavu#2(a.k.a 14).Yeye analala kama #1, wewe jishushe kiasi kisha jikunje kama nne alafu rudisha matako yako kwa nyuma uswa wa uume wake kisha inua mguu wako ili aingize uume ukeni mwako, rudisha mguu chini kisha anza kujiangaisha kwa kukata kiuno au vyovyote uwezavyo wakati yeye anakupa nje-ndani….
Kitendo cha mapaja yako kubanana kitakupa raha kwenye kisimi na hata utamu na uume nao utakuwa umeubana na hivyo kusugua kona zako huko ndani.
Vyura.
Lala kifudifudi huku umepanua miguu alafu Jamaa alale juu yako na kuingiza uume kwenye uke kupitia nyuma, kwa kufanya hivyo uume wake utalenga vema “kipele G” kama unacho.

Wakati akienda nje-ndani mwili wako utakuwa unacheza cheza na kusugua kisimi ambacho kwa wakati huo kitakuwa kimegusa godoro na hivyo utapata utamu mara mbili kwa wakati mmoja wa “kipele G” na kisimi.
Toroli. Lala kifudifudi mwishoni mwa kitanda ning’iniza miguu huku umeipanua , Jamaa asimame katikati ya miguu yako, arudi chini kidogo ili aweze kuulenga uke. Jamaa atakwenda nje-ndani na wakati huohuo mwili wako utakuwa unacheza na kusugua kisimi na unaweza kubahatisha bao mbili kwa mzunguuko mmoja kama umejaaliwa.
KIDOKEZO KWA WANAUME.
Baadhi ya wanaume huwa na bidii na kufanikiwa kufika “Eneo la hatari” ambako ni ndani yaani karibu na njia ya uzazi.

Unapofika huko mwanamke atakuwa akilia kwa maumivu na wakati huohuo kutaka zaidi, pia utahisi misuli ya uke inakubana na kujaribu “kusukuma” mboo hiyo haina maana kuwa mwanamke amefika bali anakaribia hivyo ni wajibu wako kuzidisha “speed” badala ya kupunguza.
Jinsi unavyofanya hivyo ndivyo unavyozidi kumpa raha mwenzio na hatimae kufika…..baada ya kutoka uume unaweza ukawa na vijidamu kiasi au damu hasa kama vile yuko hedhini hapo inamaana umejeruhi kwa vile kule ni laini sana na hupona yenyewe tu.
Tahadhari: Ruhusu mtu afike mbali kiasi hicho ikiwa mko kwenye mahusiano ya kuaminiana, huna mimba (inaweza kuleta matatizo), huna mpango wa kupata mimba (akiteleza kidogo tu pale imenasa).
Mazoezi ni muhimu ili kufanikiwa kujaribu baadhi ya mikao ya kiujumla ambayo ni BAB-KUBWA.
Mikao mingine nitaendelea kukurushia hapa inategemea zaidi na matakwa yako.
Image result for mlipuko wa bomu ngara


Wimbi jipya la mashambulizi ya mabomu limepiga mashariki mwa Ghouta nchini Syria kwa siku ya sita mfululizo, kabla ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupiga kura ya kutaka mapigano yasitishwe kwa siku 30 kote nchini humo. 

Ndege za kivita zililishambulia eneo la kilimo lenye wakaazi wengi mashariki mwa mji mkuu, ikiwa ni ngome ya mwisho ya waasi karibu na Damascus. 

Mashambulizi hayo ya karibuni yamewaua watu 426 wakiwemo watoto 98.

 Mjumbe wa Umoja wa Mataifa kuhusu mzozo wa Syria Staffan de Mistura ameomba pande zote kuweka chini silaha na kukomesha mashambulizi hayo ya kinyama ambayo ni mojawapo ya mabaya zaidi kuwahi kufanywa katika vita hivyo vya miaka saba. 

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linatafakari kuhusu azimio, ambalo Kuwait na Sweden ziliandika, likitaka kusitishwa kwa mashambulizi kote Syria kwa ajili ya operesheni zote za kijeshi kwa siku 30 ili kuruhusu upelekaji wa misaada ya kiutu na kuhamishwa watu wanaohitaji matibabu.

Kura hiyo itapigwa baadaye leo.









chanzo dw