Header Ads

Kodi ya mitandao ya kijamii Uganda kuangaliwa upya


Raia Uganda wametakiwa kulipa kodi ili kuweza kutumia mitandao ya Whatsapp, Facebook, Twitter na mengineyo ya kijamii

Serikali ya Uganda imetangaza kwamba tozo la kodi ya mitandao ya kijamii huduma ya kutuma pesa kwa simu itaangaliwa upya.
Kodi hiyo ya shilingi 200 za Uganda ambayo ni sawa na $0.05 inayotozwa ili mtu aweze kutumia mitandao kama Twitter na Facebook imechangia kuzuka maandamano nchini.
Lakini hakuna hakikisho kuwa kodi hiyo itaondolewa na huenda ikachukua wiki kadhaa kabla ya kuidhinishwa mageuzi yoyote yale.


TANZANIA HAINA DINI ILA WATU WAKE  WANA DINI ZAO


No comments