Header Ads

Serena Williams amefunga ndoa

Siku ya jana kulivuja tetesi kuwa mcheza tensi namba moja kwa ubora duniani, Serena Williams amefunga na mpenzi wake Alexis Ohanian huko Contemporary Arts Center, New Orleans nchini Marekani.
Wawili hao ambao wamebahatika kupata mtoto mmoja walifunga pingu za maisha huku mrembo huyo akitinga magauni matatu tofauti katika sherehe hiyo iliyoudhuliwa na watu wake wa karibu.

No comments