Header Ads

MAGAZETI MATATU YA PEWA ONYO NA BUNGE LA TANZANIA

   
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limetoa onyo kali kwa magazeti na Wahariri wa gazeti la MtanzaniaMwananchi na Nipashe kwa kosa la kuchapisha na kusambaza mwenendo wa shauri lililokuwa likifanyiwa kazi na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge




No comments