Header Ads

Azarenka hatoshiriki michuano ya Marekani

 
Tenesi
Nyota wa tenesi kwa upande wa wanawake Victoria Azarenka hatoshiriki michuano mkubwa ya wazi ya Marekani.





  Nyota wa tenesi kwa upande wa wanawake Victoria Azarenka hatoshiriki michuano mkubwa ya wazi ya Marekani.
Azarenka mwenye umri wa miaka 28 hatoshiriki mashindano hayo yatayoanza kutimua vumbi kuanzia Augost 28, kwa sababu za kifamilia .

"Nasikitika sintoweza kushiriki mashindano ya wazi ya Marekani ya mwaka huu kutokana na hali yangu ya kifamilia inayoendelea kwa sasa," Azarenka alieleza hayo siku ya Jumatatu.
Mchezaji huyu alirejea uwanja mwezi wa sita mwaka huu baada ya kuwa nje ya uwanja kwa muda kutokana kuwa mjamzito na alifungua mwanae Leo mwezi Desemba mwaka jana.

No comments