Header Ads

Mshike mshike wa kuwania ubingwa ligi kuu ya England utaendelea tena leo


Chelsea

Mshike mshike wa kuwania ubingwa ligi kuu ya England utaendelea tena leo kwa mchezo mmoja kupigwa vinara wa ligi hiyo Chelsea watakua katika uwanja wao wa nyumbani kuwaalika watakatifu wa Southampton.

Nahodha wa Chelsea Gary Cahill anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi baada ya kurejea mazoezi baada ya kupona tatizo la tumbo .
Diego Costa na Eden Hazard wanatarajiwa kuanza katika mchezo huu baada ya kuanzia bechi katika mchezo wa kombe la FA dhidi ya Tottenham wikiendi iliyopita

No comments