Header Ads

Hakuna binadamu kama Ronaldo tokea dunia kuumbwa

.

Mkuu wa Habari na Mawasiliano wa Mabingwa wa Ligi Kuu (VPL) Simba SC, Haji Manara amefunguka na kumwagia sifa nyota wa timu ya Taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo huku akidai mchezaji huyo ndio mtu maarufu ulimwenguni kote na mtu pekee aliyepigwa picha nyingi tokea alipoumbwa Adam na Hawa

Manara ametoa kauli hiyo asubuhi ya leo Juni 16, 2018 baada ya Ronaldo kuingia kwenye 'record' ya kuwa mfungaji wa kwanza kufunga Hat- Trick ya kwanza katika fainali za Kombe la Dunia 2018 kwenye mechi ya Kundi B iliyowakutanisha Ureno dhidi ya Hispania.




WANAFUNZI MWISHO KUSOMEA KWENYE MIEMBE

No comments