Header Ads

SAM WA UKWELI AFARIKI DUNIA



Image result for sam wa ukweli




Msanii wa Bongo Fleva, Sam wa Ukweli amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Palestina, Sinza jijini Dar baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Image result for sam wa ukweli



Chanzo cha kifo chake kimelelezwa na Producer wake Steve kuwa “Sam alianza kuzidiwa toka J’mosi, tulipomuuliza anaumwa nini alisema ukimwi lakini sio ukimwi wa kawaida bali wa kulogwa”

Mwili wa marehemu umepelekwa katika hospitali ya Mwananyamala kuhifadhiwa.

Image result for sam wa ukweli
Ajali ya treni na basi yaua na kujeruhi vibaya mkoani Kigoma



No comments