Header Ads

Tahadhari dhidi ya Ebola

Image result for ebola virus patients

Shambulio la mtandaoni duniani ambalo limesababisha kutekwa kwa mafaili katika kompyuta linaonekana kupungua kuanzia jana Jumatatu wakati maafisa wanafanyakazi kuwakamata watu 

wanaohusika. Miongoni mwa waliyogundua ni uwezekano wa uhusiano kati ya kirusi kinachofahamika kama "ransomware", kinachotambulika kama WannaCry na wadukuzi ambao 

wanahusiana na Korea kaskazini. Ugunduzi huo bado ni wa muda , kampuni moja ikiueleza kuwa ni njama lakini bado ni dhaifu. 

Kampuni ya usalama wa mtandaoni Kaspersky Lab imesema kwamba sehemu ya programu ya WannaCry inatumia mfumo wa kanuni kama malware ambayo ilisambazwa hapo kabla na kundi la Lazarus, kundi la wadukuzi ambao walihusika na kudukua mafaili ya kampuni ya Sony ambalo Korea kaskazini ililaumiwa.


 Wakati huo huo rais wa Urusi Vladimir Putin amesema kwamba Urusi haihusiki kwa lolote na shambulio hilo la mtandaoni.

No comments