Header Ads

Uhuru wa vyombo vya habari haujakmatukioomaa


Kila mwaka, tarehe 3 Machi, dunia inaadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari. DW inaangalia hatua zilizopigwa na changamoto zilizopo katika sekta ya habari barani Afrika kama vile wanasiasa kuingilia sekta hiyo.
 
Sikiliza sauti 09:44

Mahojiano na Deodatus Balile, Jukwaa la Wahariri Tanzania

Huku dunia ikiadhimisha siku ya uhuru wa habari , waandishi habari nchini Uganda wanazidi kukabiliwa na mazingira magumu ya kazi kutokana na sheria kandamizi zinazobuniwa kila kukicha. Aidha makabiliano na vyombo vya usalama hasa polisi na vitisho vya mara kwa mara kutoka kwa wanasiasa na hata waajiri wao vimeshudiwa mara kwa mara. Haya ni licha ya madai ya utawala nchini humo kwamba unalinda kwa dhati uhuru wa habari.

No comments