Header Ads

Serikali ya Sudan Kusini kusitisha mapigano

Serikali ya Sudan Kusini na makundi ya waasi wameweka saini ya kusitisha mapigano kuanzia siku ya krismasi,
Image result for picha raisi Serikali ya Sudan Kusini
hatua itakayomaliza vita ya wenyewe kwa wenyewe iliyodumu kwa miaka mine. Makubaliano yalitiwa saini katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa katika mkutanoulioitishwa na IGAD.
Makuabliano yanaruhusu makundi ya makundi ya kutoa misaada kuwafikia wananchi waliobanwa katika maeneo ya mapigano.
Mara kadhaa makubaliano ya kusitisha vita yametiwa saini Sudan kusini lakini yote hayakutekelezwa.

No comments