Header Ads

Manchester City yamsajili Nolito

Manchester City yamsajili Nolito


Image copyrightGETTY
Image captionNolito
Manchester City imemsajili mshambuliaji wa Uhispania Nolito kutoka kilabu ya Celta Vigo kwa pauni milioni 13.8.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 ameweka kandarasi ya miaka minne na hivyobasi kuwa mchezaji wa nne kusajiliwa na klabu hiyo.
Meneja mpya Pep Guardiola tayari amemsajili IIkay Gundogan kutoka Borussia Dortmund kwa pauni milioni 20 pamoja na beki wa Australia Aaron Mooy.

No comments