Header Ads

Video mpya ya Darassa ‘Too much’ Shilole, Lina na wengine ndani


Rapper kutoka Bongoflevani, Darassa anayetamba na wimbo uitwao Kama  Utanipenda aliyomshirikisha Rich Mavoko , sasa leo  July 16, 2016 ameachia rasmi video yake mpya iitwayo Too Much imetayarishwa na director Hanscana.


No comments