Header Ads

WADAU WA CHANGIA MADAWATI SHULE YA MSINGI KIZUMBI

 shule ya msingi kizumbi


KIKUNDI cha kuweka na kukopa fedha katika kata ya KIZUMBI kwa kushirikiana na wanakijiji wa eneo hilo wametoa madawati 13 katika shule ya msingi ya kizumbi iliopo katika kijiji cha bugaya mbelele manispaa ya shinyanga

akifungua katika hafra ya kukabidhi madawati hayo afisa mtendaji wa kata ya kizumbi DAVID ONG WASHI amewaomba wadau wengine kujitolea kuchangia maendeleo  ya shule hiyo

AFISA MTENDAJI  WA KATA YA KIZUMBI DAVID ONG WASHI


MWalim mkuu wa shule ya msingi kizumbi NEEMA MKANGA ameshukuru kwa msaada huo na kuomba wadau wengine kuendelea kuchangia ili kumaliza tatizo la madawati SHULENI HAPO Kwani shule hiyo inamapungufu ya madawati 76 na yaliopo ni madawati 73 pekee

                                  MWALIM MKUU KIZUMBI NEEMA MKANGA

akipokea msaada huo diwani wakata ya kizumbi RUBENI KITINYA amewashukuru wanakijiji pamoja na kikundi cha UMAKA kwakujitolea  msaada wa madawati kwani hatua hiyo itasaidia kuboreshamazingira ya wanafunzi kujifunzia 
DIWANI WA KIZUMBI RUBENI KITINYA








baadhi ya wakazi wa kijiji cha ugayambelele waliokuwa wamehudhuria katika hafra hiyo ya kukabidhiwa madawati wameomba kuwa umoja ma mshikamano miongoni mwao hasa katika shughuli za maendeleo b, baada ya kutanguliza tofauti za kivyama vya siasa


                                                wana kijiji wa kizumbi

wana kijiji cha kizumbi

aidha wanafunzi washure ya msingi kizumbi wameshukurub kwa msaada huo na kusemakuwa  hatua hiyo itawasaidia kuboresha mazingira ya shule na kuinua kiwango cha ufauru shureni hapo

WANAFUNZI WA KIZUMBI SHULE YA MSINGI






WANAFUNZI WA KIZUMBI SHULE YA MSINGI



afisa mtendaji wa kata YA KIZUMBI  WEMA MASHAKA


MWALI ALIEKUWEPO KWENYE TUKIO





No comments