Header Ads

WOSIA KWENYE FAMILIA

katika jamii ya kiafrika kwa asilimia kubwa atujui umuhimu wa kuandika wosia kwa familai au mke  ili badae kuondoa migogoro ambayo itatokea  badae  .
 nadhani hata wewe ni shahidi tunaona baada ya marehem kufariki watu ushambulia mali za marehem na kuwa acha watoto katika mazingira magum na kuwa machokolaa au watoto wa mitaani

  

MAANA YA WOSIA 

wosia ni kauli ya mwisho inayo tolewa na mtu wakati wa huai wake kwa hiali yake mwenyewe , nakuonyesha jinsi gani angependa malim zake igawanywe kwa urithi wake baadae ya kufa kwake

UMUHIM WA WOSIA 

wosia uansaidia kuondoa migongano ndani ya jamii kwa sababu kila kitu kimefafanuliwa na kuelezwa bayana kuhusu mgawano wa mali husika

1.mtu anapotoa wosia anasaidia jamii inayobaki kuweza kutambua mali za marehemu

2. wosia unasaidia kuweka mjane au watoto katika hali nzuri baada ya marehem kufariki kwani mtoa wosia hawezi kumwacha mke wake amabaye walihangaika wote pasipo kumgawia mali inayo husika

3. wosia ni kitu muhim sana ambapo hata mahakama haiwezi kubadirisha yaliyomo ndani ya wosia kama yatakuwa yameandikwa bila upendeleo au ukiukwaji wa sheria iliyopo


Image result for picha ya biblia



TARATIBU ZA KUTOA WOSIA 

wosia wowote ule lazima utolewe na mtu mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea.
 woasia hutolewa wakati mtoa wosia akiwa na akili timamu kama ni mgonjwa aliye katika hali ya kupoteza fahamu basi asitoe wosia 

;;;;; wosia wowpte lazima utolewe mbele ya mashaidi wawili au wanne idadi ya mashahidi hutegemea na aina ya wosia unaotolewa  kwa masahahidi wote husuhudis kwa wakati mmojs

;;;;;wosia unapotoiewa ni muhim mke /wake wa mtoa wosia hushuhudia kuhusishwa kikamilifu

;;;warithi awapaswi kuwa  mashahidi iwapo watakuwa mashaihidi basi wosia huo utakuwa batili na utakosa nguvu za kisheria



AINA ZA WOSIA


1. Wosia wa maneno
2. wosia wa maandishi



  WOSIA WA MANENO
Huu hutolewa na mtoa wosia mwenyewe kwa kutamka mambo ambayo atataka yafanyike baada ya m yeye kufa. wosia huu huwa na mashahidi 4 ,amabo 2 hutoka ukoo na 2 huwa marafiki zake iwapo mtoa wosia anataka kufuta wosia wake , atawaita mashahidi wake na kufuta wosia huo  kwa maneno mengine 

Image result for picha ya biblia


WOSIA WA MAANDISHI

Kwa anayejua kusoma na kuandika anatakiwa atoe wosia wake kwa maandishi. wosia huu huandikwe kwa kalam ya wino au kalamu isiyofutika au ipigwe chapa .katika wosia wa maandishi tarehe ya kuandika wosia huo lazima   iandikwe


;;; mashahidi wa wosia huu huwa wawili tu. mmoja anaweza kuwa rafiki na mwengine kuwa  ndungu kutoka ukoo wake


;;;;nimuhim kwa mtoa wosia kuweka sahii yake na majina yake mbele ya mahahidi wake 2 anaweza pia kuweka sahii ya dole gumba la  mkono wa kulia kwakuchovya wino katika kidole hicho

;;;; ni muhim mwosia kutaja jina la yule anayetaka awe msimamizi wa mali yake pamoja na anmwani yake au nambaza simu

;;;;;;wosia huu ni lazima uwe na anwani ya mtoa wosia , kijiji au kitongoji anachohishi  hii huweza kusaidia katika utoaji wa wosia huo mahakamani  kwa sababu yawezakana majina yanafanana na mtu mwingine ambaye naye wosia wake ulishatolewa  kwa wahusika wengine


                      MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA WOSIA
sheria inatambua na kutoa maeelekezo kuhusu masilahi ya watu wanaohusiana na wosia uliotolewa kisheria mtoa wosia hawezi kumyima mrithi wake halali/ mtoto au mtegemezi /wosia hadi hapo yafuatayo yatathibitishwa kuwa yalitendeka

[ a] mrithi anezini na mke wa mtoa wosia

[b] kujaribu kumuua mtoa wosia au kumuua mama yake

[c] kuacha kumtunza mtoa wosia wakati wanjaa na maradhi bila sababu ya msingi mtu awezi kurithisha  rafiki yake sehemu ya mali yake binafi


WIKI LIJLO NITAKUFUNDISHA JISI YA KUANDIKA WOSIA KWA MANENO ENDEREA KUWA NASI

  WASILIANA NASI KWA NAMBA 0742692079




No comments