Mwanamke wa kwanza rubani wa ndege ya vita

Luteni Misa Matsushima.
Mwanamke mmoja nchini Japan amefuzu kuwa rubani wa kwanza wa ndege za kivita nchini humo, Luteni Misa Matsushima, mwenye umri wa miaka 26, ameanza majukumu yake leo baada ya kumaliza mafunzo ya kurusha ndege ya kivita aina ya F 15, jeshi la Japan limetangaza.
Luteni Misa amewaambia wanahabari kwamba, kwa kuwa rubani wa kwanza mwanamke atafungua fursa kwa wanawake wengine kuingia kwenye fani hiyo.
“Tangu nilipoangalia sinema ya Top Gun, wakati nikiwa shule ya msingi basi nikatokea kuwapenda sana marubani wa ndege za kivita,” anasisitiza Misa.
Japan ina viwango vya juu vya ukosefu wa usawa wa kijinsia, ambapo wanawake wengi wanatarajiwa kuwa mama wa nyumbani badala ya kuajiriwa, lakini kutokana na kukabiliwa na changamoto ya kuwa na wazee wengi, mnamo mwaka 2013 Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Shinzo Abe, aliahidi kuwawezesha zaidi wanawake katika ajira.
Jeshi la Japan lilianza kuajiri wanawake kwa mara ya kwanza mwaka 1993 isipokuwa kwa marubani, ambapo iliondoa amrufuku hiyo mwaka 2015, ambapo kwa sasa wanawake wengine watatu wamejiunga kwenye mafunzo ya kuwa marubani wa ndege za kivita.
Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖
ReplyDeleteBaada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.
Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.
Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️
Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:
Masuala ya uhusiano au ndoa
Ugonjwa au magonjwa
Matatizo ya utasa au bahati nasibu
Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali
Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.
Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com