Header Ads

Wanajeshi wa AMISOM hawajalipwa kwa miezi sita

Wanajeshi wa AMISOM hawajalipwa kwa miezi sita


Image copyrightREUTERS
BBC imebaini kuwa wanajeshi wa AMISON wanapigana vita na kundi la al shabab nchini Somalia hawajalipwa marupuru yao kwa miezi sita.
Kikosi hicho cha AMISOM kinafadhiliwa na Muungano wa Ulaya.
Taarifa za EU ziliiambia BBC kuwa malipo hayo ya miezi sita, yamezuiwa kutokana na matatizo ya kiuhasibu.
EU inastahili kumlipa dola 1000 kwa kila mwanajehsi wa AMISON kila mwezi.
via bbc

No comments