Header Ads

WATAMKA

05diamondtuzo5
Babu Tale, Diamond na Fella






Akiongea na Redio 5 ya Arusha Jumatatu hii, Fella amezungumzia matokeo hayo pamoja na kwanini walikuwa namarajio makubwa.
“Tumepokea vizuri sana kwa sababu mwisho wa siku ni msanii pekee wa Kitanzania,” alisema Fella “Msanii wa kitanzania kuingia kwenye tuzo kama hizo ambazo ni kubwa duniani bado tunaona tunanafasi ya kufanya mazuri zaidi,”
Aliongeza, ‘Hatuwezi sema tulikosea kwa sababu mwisho wa siku yale ni mashindano kwamba mmoja lazima achukue, kwa hiyo Black Coffee alichofanya ulimwenguni kimemeona ni bora, yeye ni bora, kwa hiyo na sisi Watanzania tutengeneze vitu bora kama vya wenzetu,”
Pia kiongozi huyo alisema walikuwa na matarajio ya kuchukua tuzo hiyo.
“Hata ukiniambia leo nikapigane na Tyson na uhakika wa kupigana naye na nikashinda, sina maana kwamba naenda kupigana na Tyson ndio nikapigwe,”

No comments