MTANGA KUSOMA AZAM MWAKA 1998 UP TO 2001
katika kipindi cha skonga mabacho kina luka EATV KHAMISI AU JINA MAARUFU MTANGA
alisema kuwa alisomea shule ya secondari ya AZAM SECONDARY MWAKA 1998 MPAKA MWAKA 2001 nipo alimaliza elim yake ya secondary
alisema zamani watu ndo walikuwa vichwa kulikosasa kwakua sasa kuna mitandao ya kijamii ambayo inawalemaza wanafunzi kuliko zamani mitando ilikuwepo sikama sasa hali inayo mpelekea wanafunzi kuto kufanya vizuri kwakuwa mda mwingi anakuwa kwenye mitandao kuliko kwenye masomo
mtanga kipindi anasoma hapo azam sekondari yeye alikuwa ana kaa buguluni na kipindi hicho mwanafunzi alikua athaminiwi kuliganishwa na sasa kwani mda mwingine alikuwa anacherewa shureni na kufikia kichapo
katika kipindi hicho matnga aliulizwa kuwa ulikua kichwa darasani au kilaza akasema alikua kichwa yani alikuwa vizuri kwenye masomo ya darasani
mtanga alisema katika maisha yake hawezi kumsahau mwailim LUBANGI ALISEMA mwalim huyo alikuwa mlokore kwa sababu alikua ana chezee makozi sana toka kwa mwalim huyo
topic ambayo mtanga anaipenda sana wakati alipokuwa darasani ni REPRODUCTIO
Post a Comment