JWTZ Yakanusha Taarifa za Kifaru Cha Jeshi Kuibiwa..Tazama
"
Habari na Burudani
Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) limekanusha taarifa za kuibiwa kwa kifaru cha jeshi zilizoripotiwa leo na gazeti la Dira na kusema kuwa taarifa hizo hazina ukweli wowowte huku likisisitiza ulinzi katika maeneo ya jeshi uko imara.
Post a Comment