Header Ads

sanii wa nyimbo za injri TANZANIA laphaeli sangu maarufu kamaKIKOMBE CHA BABU


LAPHAEL SANGU 

msanii wa nyimbo za injri TANZANIA laphaeli sangu maarufu kamaKIKOMBE CHA BABU ame funguka leo na sylasdennis.blogspot.com  nakuzitaja changamoto amabazo alipita katika wimbo wake wa kikombe cha babu na kwanini aliutunga wimbo huo


KIKOMBE CHA BABU niwimbo ambao unatamba sana hapa  nchini nahata inje ya TANZANIA  sangu alizungumza na blog hii nakuiambia   kuwa alishagazwa sana mwaka 2011 watuwengi wandani ya nchi na wamataaifa mabalimbali kuja tanzania kupata kikombe cha babu wakati yesu ni zaidi ya kikombe cha  babu , aliamua kutunga wimbo huo ili watu wajue kuwa mungu ana wenza kuliko hata kikombe hicho ambacho watu walikitegeme lakini leo kikombe cha babu kimepotea na yesu bado anaenderea kuponya  maana yeye nijana na reo hata mirere




KIKOMBE CHA BABU  alizidi kuifafanulia sylasdennis.bligspot.com kuwa alipata changa moto ambazo kwaakili zake mwenye asingeweza kwani watu mbalimbali walimfata na kumwambia kuwa wewe utafungwa kwani kikombe chababu viongonzi wenge wamekitumia hivyo utafungwa na auto tokajera ,ila nirienderea kumsikiliza roho mtakatifu amabe ananiongoza kwa kila kitu na wimbo wangu unafanya vizuri sana katika meadi mbalimbali hapa nchini 

hii picha alipiga na sylasdennis.blogspot.com


amewataka watu wote kumtegemea mungu kwakila jambo


























1 comment: