Header Ads

DAYNA NYANGE AMEFUNGUKA LEO NA KALI ZOTE BLOG KUHUSU UJIO WAKE MPYA


DAYNA YANGE nimsanii wa TANZANIA ambae anatamba kwasasa kwa song AGEJUA leo amefunguka na KALI ZOTE BLOG  amesema kuwa mpango wa kutoa albam anao ila kwasasa bado anaagaria soko lipoje maana sikutoa albam tu alafu haiuzi inakuwa hujafanya chochote,
nayeye apendi kufata mkumbo kama wa sanii wengine wa hapa nchini





dayna amezidi kufunguka na KALI ZOTE BLOG kuwa katika wasanii wa kwanza  TANZANIA kuwa na denca na yeye yumo kwani alikuwa nao madance 4 jisia ya kuume  kwa miaka mitatu
amezitaja changamoto ambazo alikuwa anazipata kutokana na  madenca hao sababu ya kwanza  upolathi wapendeze madenca kuliko yeye  , sare, usafiri, kutengeneza show pia ni changamoto


pia kwakuwa alipotezana nao madenca hao ila anampango wakuwatafuta na kuenderea kufanyanao kazi kwani hawezi kutafuta madance wake wapo

amewataka mashabiki zake kuendera kumpa sapoti kwani kunakitu kinakuja baada ya AGEJUA




                                          wasiliana na sylas denniss kwa namba 0742692079




No comments