Header Ads

MC KOBA APATA MTOTO


msani wa bogo fleva mc komba ambae kwa sasa anatamba na ngoma yake mpya ya zawadi ambayo ilipewa air time  yakutosha na faraja fm 91.3 shinyanga  katika kipendi cha friday night show ambacho kinaruka kila ijuma nakina endeshwa na   watangazaji walio bobea katika kutangza sylas deniis pamoja na stivu kanyefu 


  leo MIC KOBA  amefunguka na KALI BLOG ZOTE nakusema amepata mtoto amabe kwa jina lake anaitwa ETHANI  kwa muujibo wa msani MC KOBA



MTOTO HUYO ETHANI huya hapa chini 

No comments