Header Ads

Watu 2 wauawa kwenye ghasia Afrika Kusini

Watu 2 wauawa kwenye ghasia Afrika Kusini


Watu wawili wanaripotiwa kuuawa kwa kupigwa risasi na 40 kujeruhiwa wakati wa maandamano yenye ghasia kwenye mji mkuu wa Afrika Kusini Pretoria.
Maandamano hayo ni ya kupinga hatua ya chama tawala nchini humo cha African National Congress (ANC) ya kumteua mgombea wa kiti cha umeya mwezi Agosti.
Uporaji kwenye maduka yakiwemo yale yanayomilikiwa na wahamiaji, umeendelea siku nzima licha ya kuwa wa kiwango cha chini ikilinganishwa na hapo jana na Jumatatu

No comments