MSANI TOKA TANZANIA DARASA AONGEREA SONG YAKE YA UTANIPENDA
MSANI TOKA TANZANIA DARASA
RAP darasa reo wakati akiojiwa kwa njia ya sim na sylass denniss amesema kuwa alikuwa na aidear ya song yake ya UTANIPENDA kwamda mrefu ata korasi ambayo ameimba msanii wa bongo freva ambae kwasasa yopo chini ya rebo ya WCB RICH MAVOKO ilimchukua mda kuikamilisha na hii aidear alikuwa nayo kwa mda mrefu
rap darasa amesema kuwa katika ngoma ambayo imemkosti pesanyingi ni video ya UTANIPENDA imefanyiwa hapa hapa TANZANIA kuanzia biti mpaka video
dereter katika video ya UTANIPENDA ni scana na madhingira ni ya hapahapa TZ
DARASA amewataka mashabiki zake waenderee kumsapoti kwani kuna kitu kitakuja hivi punde wakee mkao wakura
Post a Comment