Header Ads

MAUA SAMA HATAMANI KUITWA MAMA


              KALI ZOTE BLOG

Msanii wa muziki Maua Sama amesema kuwa kama atapata mwanaume sahihi wa kuzaa naye basi angependa kuzaa watoto mapacha.






41e79110d365c09dd1690baf467c10e9

Muimbaji huyo anayefanya vizuri na wimbo ‘Mahaba Niue’ ameliambia gazeti la Mwananchi kuwa angependa familia yake iwe na watoto wawili au watatu.
“Nikipata mume, nataka nizae watoto wawili au watatu siyo mbaya, kwa sababu anapenda sana nipate wakiume na kike, nikipata pacha siyo mbaya,” alisema Maua Sama.

Image result for PICHA YA MAUA SAMA
Muimbaji huyo amesema kwa sasa anashindwa kupata mtoto kwa kuwa hajajipanga

No comments