Header Ads

BEENIE MAN ARUDI TENA KWENYE GAME BAADA YA kusumbuliwa mwezi uliopita na virusi vya ZIKA

                 KALI ZOTE BLOG
KALI ZOTE BLOG

Beenie Man  Kwa sasa afya imerejea katika hali yake ya kawaida ni mzima wa afya baada ya kusumbuliwa mwezi uliopita na virusi vya ZIKA vilivyomfanya ashindwe kuhudhuria katika show iliyoandaliwa na OVO FEST   

Legend huyo wa dancehall pia kulikuwa na rumors kuwa jamaa anamaambukizi ya virusi vya ukimwi baada ya muda mfupi Beenie man kupost picha inayomuonyesha amelazwa hospitalini kupata matibabu ya homa kali ya ZIKA V, Taarifa hizo zilianza kusambaa kuwa anavirusi hivyo vibaya katika afya ya binadamu ambapo vyanzo vya habari hii ambaye ni mtu wa karibu wa legend huyo alisema hizo sio habari za kweli ni uwongo mtupu kuwa anamaambukizi ya HIV.


Beenie Man, ambaye alisema atatoa album yake mpya  iitwayo UNSTOPPABLE mwishoni mwa mwezi huu yaana tarehe 26 August mwaka huu.

Kati ya waalikwa katika uzinduzi huo wa UNSTOPPABLE ni Bounty Killler, Sizzla Kalonji , Agent Sasco, Christopher Martin, and Tarrus Riley. 

KAL IZOTE BLOG

No comments