Header Ads

P-Square WAJIANDA KUTOA NEW SONG HIVI KALIBUNI


KALI ZOTE BLOG

Image result for p square PICHA
Baada ya miezi kadhaa ya kutoelewana na kusababisha kuvunjika kwa kundi la P-Square sasa, Peter na Paul Okoye  POAULO wameanza kurekodi kazi mpya.


Image result for p square PICHA
12940912_1799083410377084_825748254_n
Mwezi Julai mwaka huu member wa kundi hilo Peter Okoye aliandika ujumbe kwenye Instagram akiwaomba msamaha mashabiki wao kwa kuvunjika kwa kundi hilo lakini aliwaahidi kuwa P-Square linarudi tena na alitangaza kumrejesha kaka yao, Jude Okoye kama meneja wao.


Image result for p square PICHA

Kupitia akaunti ya Instagram, Peter ameandika ujumbe unaoonyesha kuwa kuna kitu kipya anarekodi studio na ndugu yake Paul.

Image result for p square PICHA

Something new Cooking in da kitchen and about to come out! From us! You already know it’s P2 baby!!! #KoolestDudes
Kurudi upya kwa kundi hilo ni ndoto ya kila shabiki wa muziki Afrika kutokana na heshima kubwa waliojitengenezea kipindi walipokuwa pamoja. Muda ndio utaongea tusubiri tuone.

No comments