Header Ads

Y-Tony avunja ukimya na kigongo ‘Wivu Wangu’ azungumzia ujio wa album


\


6






Unaikumbuka Masebene? Ni ngoma ya aliyekuwa msanii chipukizi zaidi ya miaka miwili iliyopita, Y-Tony hadi kumpa nomination kwenye tuzo za Kili.
6
Kwa sasa amekua, amejifunza, ameiva na amerejea tena na kigongo kipya ‘Wivu Wangu’ shukrani kwa mipango mikubwa iliyonayo kampuni mpya inayomsimamia kwa sasa, Fresh Code Entertainment King.

No comments