Header Ads

DIWANI WA NDEMBEZI KUPITIA CCM David Nkulila KUBALIKI NDOA KAMA ULIPITWA KUANGALIA PICHA ANGALIA HAPA








Mwandishi wetu Kadama Malunde ametusogezea  picha 20 za harusi ya wapendwa hawa.
Ndani ya kanisa Katoliki la Mama Mwenye Huruma lililopo Ngokolo Mjini Shinyanga.
Kanisani
Ndoa ikiendelea kufungwa
Ndoa ikiendelea kufungwa
Zoezi la kuvalishana pete ya ndoa linaendelea
Nkulila akimvalisha pete ya ndoa bi Prisca
Wanandoa wakionesha pete za ndoa
Zoezi la kusaini vyeti vya ndoa 
Nkulila akisaini cheti cha ndoa
Prisca akisaini cheti cha ndoa
Nkulila na Prisca wakionesha vyeti vyao vya ndoa

Mwenyekiti wa Mtaa wa Dome Solomon Naringa Najulwakatika kata ya Ndembezi bwana na diwani wa kata ya Ngokolo Mheshimiwa Emmanuel Ntobi wakiwa kanisani


Aliyekuwa diwani wa kata ya Ngokolo Sebastian Peter akimpongeza Nkulila kwa kufunga ndoa nje ya kanisa baada ya ibada ya ndoa kumalizika
Pongezi zikaendelea kutolewa
Pongezi zinaendelea kutolewa
Picha ya kumbukumbu
Kulia ni Mkurugenzi wa Malunde1 blog pia mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Shinyanga bwana Kadama Malunde akipiga selfie na wanandoa hao

No comments