Header Ads

jenifa na patrick si watoto tena


 
Image result for picha ya kanumba , Jennifer  na  Patrick wakiwa kijijini
 
 
 
 
Image result for picha ya kanumba  na  Patrick
 jenifa 
 

Image result for picha ya   Patrick  na jenifa
jenifa na patrick

 Watu wengi watawakumbuka Jennifer na Patrick kwa jinsi walivyoweza kutikisa tansia ya filamu Tanzania kipindi cha nyuma walipoibuliwa na marehemu Steven Kanumba.
Watoto hawa wawili walicheza kwa ustadi mkubwa katika filamu za Uncle JJ na This is It zote za marehemu Kanumba.
Kwa sasa Hanifa Daud ‘Jennifer’ na Othman Njaidi ‘Patrick’ si watoto tena. Wawili hawa hawajaonekana sana kwenye filamu baada ya Steven Kanumba aliyewatoa kufariki.
Jennifer ambaye amehitimu kidato cha nne mwaka jana mara ya mwisho alionekana kwenye filamu ya Zena na Betina ya Salma Jabu a.k.a Nisha mwaka 2014. Kwa upande wake Patrick, yeye alisema kuwa hana shauku ya kuigiza tena kama ilivyokuwa awali.
 
Image result for picha ya  ya mkanda wa betina
filamu ya Zena na Betina jenifa aliyoonekana 2014


 jenifa
 
Credit: Bongo5
 

No comments