Header Ads

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr JOHN POMBE MAGUFULI ameonya kuhusu vyombo vya habari




Image result for picha ya magufuli





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr JOHN POMBE MAGUFULI ameonya kuhusu vyombo vya habari vinavyojihusisha na  habari za uchochezi kwamba serikali haitosita kuchukua hatua dhidi yake ikiwa ni pamoja na kuvifungia,kwani  ni hatari  kwa amani ya nchi.

Rais MAGUFULI ameyasema hayo leo  mara baada ya ufunguzi wa kiwanda cha JAMBO PRODUCT,ambapo amesma kuwa baadhi ya vyombo vya habari hapa nchini vimekuwa vikitanguliza mbele masilahi  ya kisiasa,badala ya kuhamasisha maendeleo ya nchi.

Dr MAGUFULI amesema  madhara yanayotokana na vyombo vya habari kuandika habari za uchochezi ni makubwa kwani husababisha uvunjifu wa amani
                             -

Rais MAGUFULI amepongeza vyombo vya habari vinavyotanguliza uzalendo na masilahi ya watanzania,kwani vinasaidia kudumisha amani ya Nchi.

No comments