Header Ads

Mtoto mmoja amefariki dunia na familia kadhaa kubaki bila makzi baada ya nyumba zao kubomoka na nyingine kuezuliwa na upepo kufatia mvua


SHULE YA MSINGI VIWANDANI

Mtoto mmoja amefariki dunia na familia kadhaa kubaki bila makzi baada ya nyumba zao kubomoka na nyingine kuezuliwa na upepo kufatia mvua iliyoambatana na upepo mkali iliyo nyesha siku usiku wa kuamkia tarehe 12.1.2017 katika maeneo mbali mbali ya manispa ya shinyanga.

Mvua hiyo imesababisha maafa makubwa ikiwemo kifo cha mtoto huyo na kuezua sehemu kubwa ya madarasa katika shule ya msingi Viwanda huko kata ya ibadakuli imenyesha kwenye maeneo ya Mwagala,Iligwamabu,Ugweto, na kitangili na kusababisha familia kadhaa kukosa makazi na kulazimika kuhifadhiwa kwa majirani

 BATI LA PAA LA NYUMBA

Mkuu wa wilaya ya shinyanga JOSEPHINAMATIRO amesema mtoto aliyepoteza maisha kufatia mvua hiyo ni mwenye umri wa miaka minne mkaziwa kitangili ambaye amefariki dunia baada ya kuangukiwa na matofali

VIFAA VYA KUFUNDISHIA VILIVYO LOWANA NA MVUA



MWANDISHI WA RADIO FARAJA FM AKIVANYA NAOJIANO NA SUNGU SUNGU

Taarifa kamili ya madhara yaliyotokea kutokana na mvua hiyo itatolewa baada ya tathimini kufanyika   




         BWENI LA SHULE KUALIBIKA VIBAYA

SUNGU SUNGU

CHOO CHA SHULE YA VIWANDANI


MWANDISHI  NA MMILIKI WA KALI ZOTE BLOG SYLAS DENISS


VIVAA VYA SHULE VILIVYO ALIBIKA

DEREVA WA REDIO FARAJA FM AKIWA NA MWANDISHI WA HABARI

No comments