Header Ads

Diamond Platnumz kuvuka mipaka ya TANZANIA nakumsaka msanii mwengine wa WCB

Diamond Platnumz amesema  kuwa kuna  mipango ya kuongeza nguvu kwenye lebo yake ya WCB kwa kumsaini msanii wa nje ya Tanzania.
Image result for picha ya diamond
Hitmaker huyo wa Kidogo amesema hayo wakati akijibu swali la shabiki kwenye mtandao wa Twitter, lililokuwa linauliza “WCB hamjafikiria kusaini msanii nje ya Tanzania au mtafanya

No comments