Header Ads

udikteta upo TANZANIA ASEMA LOWASA


  • Image result for picha ya lowassa
Kiongozi wa upinzani nchini Tanzania, Edward Lowassa ameeleza wasiwasi wake kuhusu kile anachokitaja kama dalili za udikteta kwenye uongozi wa Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli.
Amesema hiyo ndiyo iliyokuwa sababu ya kuanzisha kampeni ya Ukuta.

Bw Lowassa aliwania urais wa Tanzania katika uchaguzi wa mwaka jana kwa tiketi ya chama cha Chadema lakini akashindwa na Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi, CCM.

VIEW BBC

No comments