Chid Benz amerudia kwenye Madawa
Ni Headlines ambazo zimekuwa zikichukua sura tofauti kwa
mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva kuhusu taarifa za kwamba Chid Benz
amerudi kwenye matumizi ya dawa za kulevya
.
Sasa mengi yamezungumzwa lakini leo Sept 9,
2016 imempataKalapina mwanaharakati wa
kupinga matumizi ya dawa za kulevya.
‘Ni kweli nimepokea taarifa kwamba Chid Benz
amerudia kwenye Madawa najaribu kumtafuta sana ili niweze kumrudisha tena Sober
House ninaamini tumpe nafasi ya pili kwani dawa za kulevya ni hatari na hii
itakuwa mara ya mwisho kwake’
‘Kwa kesi ya Chid Benz mara ya kwanza alisema
amepona baada ya kumpeleka kule Sober House lakini tutampeleka tena na
kuhakikisha anapata matibabu bora sana na kuachana na Dawa za kulevya’
Post a Comment