AWATAKA WAUSIKA KUSOMA MITA ZA MAJI
diwani wa kata ya Ngokolo katika manispaa ya shinyanga EMANUEL NTOBI ameitaka mamlaka ya udhibiti wa nishati na maji EWURA kuangalia namna ya kupunguza gharama za maji kwa wakazi wa mji wa shinyanga
Akizungumza na waandishi wa habari hii leo NTOBI amesema kama mamlaka hiyo imeweza kulisimamia shherika la umeme nchini TANESCO na kuwezesha kupunguza gharama za umeme ikiwemo kuondoa gharama zahuduma zinazo julikana kama service charges pia inapaswa kufanya hivyo hivyo katika huduma za maji ili kuwa bpunguzia wananchi gharama za maisha
ntobi amesema sasa mamlaka ya maji na usafi wa mazingira katika manispaa ya shinyanga SHUWASA imepandisha gharama za maji kutoka shilingi 790 kwa unit moja hadi nkufikia 1105 gharama ambazo haziendani na kipato cha wa nanchi
copy picha mtandaoni
diwa huyo pia amewashutum maafisa wa SHUWASA kuwa hawafiki katika makazi ya watu na kusoma dira za maji na badala yake wanapigia gharama kwa kuwakadilia kinyume na matumiz
Post a Comment