Header Ads

Sababu ya Tanzania kupinga mkataba wa EU

            KALI ZOTE BLOG


Tanzania na Uganda zimekuwa zikipinga mkataba wa ushirikiano wa kibiashara kati ya Umoja wa Ulaya (EU) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ambao kwa kifupi unafahamika kama EPA.

Image result for picha ya bendera ya tanzania
COPY MTANDAONI


Mashauriano kuhusu mkataba huo yameendelea kwa zaidi ya mwongo mmoja.
Mkataba huo ni miongoni mwa mambo yanayozungumziwa katika mkutano wa dharura wa wakuu wa EAC.
Mwandishi wa BBC Sammy Awami amezungumza na waziri wa mambo ya nje wa Tanzania Augustine Mahiga ambaye anafafanua sababu za Tanzania kuupinga mkataba huo.
CHANZO BBC

No comments