Header Ads

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza amekabidhi Kituo cha Radio

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza Bw.  Emmanuel Kipole amekabidhi Kituo cha Radio Sengerema  kwa Halmashauri ya Wilaya ya Sengeremakwa ajili ya kuratibu kituo hicho.
               
Bw. Kipole alikabidhi kituo hicho Februari 9, mwaka huu (jana) katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, ambapo alihudhuria Kikao cha Madiwani wa Halmashauri hiyo.

 Alisema kuwa kituo hicho ni mali ya wananchi kutokana na michango iliyotolewa na halmashauri na pia kupitia  wahisani mbalimbali.

Hata hivyo toka kuanzishwa kwa Radio Sengerema Serikali ya Halmashauri ya Wilaya hiyo haikukisimamia, ambapo  walijitokeza baadhi ya  wananchi kwa ajiliya kutoa kero amabazo zipo kwenye redio hiyo

imeandikwa na mwandishi wetu wa KALIZOTE BLOG Na James Timber KUTOKA Mwanzaili 
Attachments area

No comments