Header Ads

Baadhi ya wafanyabiashara wadogowadogo wamachinga walioko maeneo ya ya makoroboi mkoani mwanza leo wameleta mzozo

Image result for PICHA YA MACHINGA MKOANI MWANZA                                           
 Baadhi ya wafanyabiashara  wadogowadogo wamachinga walioko maeneo ya  ya makoroboi mkoani mwanza leo  wameleta mzozo mkubwa baada  ya  kupanga bidhaa zao mbele ya maduka  ya wafanyabiashara    

Hayo yametokea leo mkoani mwanza  baada ya mgambo kuwafukuza wamachinga ambao hawatakiwi  wanaofanya biashara zao  pembezoni mwa barabara  na kuwaamuru waende maeneo ambayo ni makoroboi, Tanganyika basi na sahara.



Wakizungumza na wakati wa ufukuzwaji wa wafanyabiashara hao,  baadhi ya wafanyabiashara wa maduka wamesema wamevamiwa maeneo yao  hivyo kuziba njia na wateja  huku awali gari la matangazo lilipita kuwapa taarifa wamachinga watoke kwenye maeneo ambayo hayatakiwi
wafanyabiashara wa maduka…

Nao wamanchinga hawakuwa nyuma  wamesema  hawakubainisha   maeneo ambayo wanatakiwa kwende   richa yakuwa taarifa walipewa kwa njia  ya tangazo
Cast……wamanchinga…..14/2/2017…ed……

Aidha mwenyekiti wa wamanchinga mkoani mwanza said tyembo amesema kuhusu zoezi hilo la kuondolewa kwa baadhi ya wamanchi  awali  walikaaa kikao na uongonzi wa halimashauri ya jiji 4/1/2017 na kupendekeza barabara mbili zifungwe  kwaajiri kuwaweka  wamachinga hao  lakini taarifa hiyo hazikupitishwa rasmi

Cast … mwenyekit….14/2/2017 

imeandikwa na mwandishi wa KALI ZOTE Na James Timber KUTOKA Mwanza 

No comments