Header Ads

Wanaume waongeza kasi ya kuoa



Baadhi ya wanawake katika halmashauri ya mji wa Nanyamba mkoani Mtwara wamelalamikia kuwapo kwa ndoa holela ambazo zinatokana na baadhi ya wanaume kuoa baada ya kupata pesa za mauzo ya zao la korosho. 
Wakulima wa korosho mkoani Mtwara
Wakizungumza na East Africa Radio nje ya ghala la chama cha msingi cha Dinyecha baada ya kufanyika kwa mnada wa ununuzi wa korosho, wamesema miongoni mwa athari wanazozipata ni pamoja na kutelekezwa kwa watoto pamoja na gharama za malezi kuwa ya upande mmoja, kama anavyoeleza Asha Salum.

No comments