Header Ads

Olivie Kiarie wa Kenya ameibuka mshindi wa shindano la Maisha Plus. Fainali za shindano hilo zilifanyika mwishoni mwa wiki. ambapo mkenya huyo amezitwa milioni 30

Olivie Kiarie wa Kenya ameibuka mshindi wa shindano la Maisha Plus. Fainali za shindano hilo zilifanyika mwishoni mwa wiki. ambapo mkenya  huyo amezitwa milioni 30


14718410_961980247240074_7413618168603607040_n
Ushindi huo umempa Olive kitita cha shilingi milioni 30 za Kitanzania.
Shindano la Maisha Plus lilishirikisha nchi za Afrika Mashariki.

No comments