Header Ads

Zahir Ally Zorro awataka wa sanii kuto imba matusi kwenye nyimbo zao

Mkongwe wa muziki nchini Zahir Ally Zorro amesema kitendo cha EATV kuanzisha tuzo za wasanii kitawapa wasanii heshma na kuwatangaza ndani na nje ya nchi KUTO kuimba matusi


.Image result for picha ya za Zorro

Zorro ameyasema hayo alipokuwa akizungumzza na EATV katika kipindi cha enews ambacho kinaruka kila siku saa kumi na mbili kuhusu mtazamo wake juu ya kuanzishwa kwa tuzo hizo.

“EATV AWARDS ni kitu muhimu sana  kwa taifa zitasaidia sana wasanii kutambulika ndani na nje  ya nchi kutokana  na uzito wa tuzo pamoja na washiriki watakaowania tuzo hizo” Amesema Zoro
Aidha Zorro ameongeza kuwa pia wasanii watakaofanikiwa kuingia katika tuzo hizo watapata faida kubwa kwani hata watu watakao taka kuwapa show lazima watazingatia pia thamani ya tuzo ambazo walishawahi kupata.

No comments