Header Ads

Ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imezuiliwa nchini Canada muda wowote itatatua nchini baada ya kuachiwa.








Ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imezuiliwa nchini Canada muda wowote itatatua nchini baada ya kuachiwa.

Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais- Ikulu, Gerson Msigwa asubuhi ya leo kupitia ukurasa wake wa twitter.

“Ndege yetu aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imezuiliwa nchini Canada ilikwishaondoka Canada kuja Tanzania. Aidha, ndege kubwa nyingine 3 (2 Bombardier CS300 kutoka Canada & 1 Boeing 787-8 Dreamliner kutoka Marekani) zitawasili baadaye mwaka huu,” amesema Msingwa.


No comments