Header Ads

jeshi la polisi mkoa wa shinyanga limefanikiwa kuwakamata watu wanane

ACP MULIRO JUMANNE MULIRO

jeshi la polisi mkoa wa shinyanga limefanikiwa kuwakamata watu wanane wakiwemo wanawake wa nne ambao wanasadikiwa kuhusika katika matukio mbalimbali ya ujambazi




ACP MULIRO JUMANNE MULIRO


akizungumza na waandishi wa habari kamanda wa polisi mkoa wa shinyanga ACP MULIRO JUMANNE MULIRO amesema watu hao wamekamatwa katika operation maalum ya kukabiliana na vitendo vya uhalifu kufuatia kuibuka kwa wimbi la unyang' anyi wa kutumia silaha katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa shinyanga likiweno la mauaji lilitokea katika kijiji cha MWAKITOLYO MANAMO NOVEMBA 19 MWAKA HUU.










MULIRO amesem a watu hao wamekamatwa\ na vitu mbalimbali ambavyo niwalikuwa wakivitumia katika matukio ya  uhalifu ambavyo ni BUNDUKI MBILI aina ya SMG, magobore matatu, risasi 17,maganda matatu ya risasi ,unga wa baruti, panga,,shoka,na nguo za kimasai walizokuwa wakivaa wakati wa kufanya uhalifu







watu hao pia wamekutwa wakiwa na pikipiki mbili ambazo wamezipolra kwa watu na kuzitumia katika matukio ya uhalifu PLATE namba mbili zapikipiki ambazo wanazitumia kubadilisha wanapo kwenda kufanya uhalifu pamoja na sim 22 za mkononi pamoja na gari moja




gari walilo pola majambazi


pipiki walizo pola majambazi

kufuatia hali hiyo kamaMULIRO amewataka wananchi kuendelea kushirikiana na jeshi la polisi kwa kutoa tarifa za kiintelejensia ambazo zitasaidia kukamatwa kwa wahusika wa matukio mbalimbali ya uhalifu


 waandishi wa habari wakichukua dondo mabali mabali


kituo cha polisi mkoa wa shinyanga



No comments