Header Ads

wasichana wawili wamelipua mabomu mawili nchini Nigeria



Eneo la shambulio Maiduguri. 11 Desemba 2016
 wasichana wawili wamelipua mabomu mawili katika soko lililoko kwenye jimbo la Borno na kumuua nchini Nigeria takriban mtu mmoja.

Mwanamgambo mmoja katika mji wa Maiduguri amesema kuwa watoto wasichana hao ambao pia waliuawa walikuwa na umri wa miaka saba na minane. 

Alisema kuwa aliwaona wakitoka nje ya Bajaji na kujaribu kuzungumza na mmoja wao, ambaye baadae alielekea kwenye jengo lenye maduka mengi na kulipua vilipuzi. 

Hakuna aliedai kuhusika na shambulio hilo, lakini waandishi wa BBC wanasema kundi la Boko Haram mara kwa mara hutumia wanawake na watoto katika mashambulio yake ya mabomu.

No comments