Header Ads

Kamusi ya kiswahili sasa imo kwenye mtandao.


Kamusi ya Kiswahili sasa yawekwa  mtandaoni

Mambo sasa ni ya kidijitali na mtandaoni tu. Hata ukitaka kutafuta neno lolote la kiswahili hauna haja ya kuangalia kwenye kitabu. Kamusi ya kiswahili sasa imo kwenye mtandao.
Shirika la uchapishaji la Oxford University Press imezindua kamusi hii ya kiswahili kama njia moja wapo ya kukienzi kiswahili.
Ili kuhamu zaidi kuhusi kamusi hii mwandishi wetu Odhiambo Joseph amezungumza na Bw John Mwazemba, Mkurungenzi mkuu wa Oxford University Press , Africa Mashariki

No comments