Header Ads

mimba za utotoni za komeshwa mkoani shinyanga




Image result for PICHA MTOTO ANAMIMBA



Imeelezwa kuwa uelimishaji Jamii kuhusu madhara ya mimba na ndoa za utotoni Pamoja na ukatili mwingine umezaa matokeo chanya  baada ya wananchi  kumepata uelewa,ufahamu na ujasiri wa kutoa taarifa  za matukio

Mratibu wa Shirika la AGAPE lililopo mjini Shinyanga SAMWEL MAGINA amesema ongezeko la taarifa za matukio ya ukatili,mimba na ndoa za utotoni  limetokana na Jamii kupata mwamko na kisha kukubali kutolea taarifa,baada ya kupata Elimu ya kutosha pia najamii  kutoa tarifa kwangazi husika ili kukomesha kitendo cha ukatili

MAGINA ameeleza hatua za mafanikio zilizofikiwa na shirika hilo kuwaokoa watoto wa kike kutoka kwenye ndoa na mimba za utotoni,kuwapatia hifadhi na kuwaendeleza kielimu pia kuwapa madhala ya tokanayo na mimbaza za utotoni na namna ya kuepuka vishawishi mbalimbali 

     Kwa upande wao watoto wa kike waliookolewa  kwenye matukio ya ndoa za utotoni,ambapo hivi sasa wanahifadhiwa katika kituo cha AGAPE kilichopo mjini Shinyanga wameomba kupatiwa haki na utetezi dhidi ya matukio ya ukatili ya mimba za utotoni

wananchi tunajukum la kuwalinda watoto wakike juu la tatizo la mimba za utotoni ambazo zinapelekea mtoto waao  kushindwa kufika ndoto zao , kwani wanajami tukishilikia kwa ukamilifu juu la suala hili tuna weza kulitokomeza 

No comments