Header Ads

Serikali ya mtaa wa Dome kata ya Ndembezi katika Manispaa ya Shinyanga imekabidhi kwa Jeshi la Polisi Vitu mbalimbali




Image result for solomoni najulwa

Serikali ya mtaa wa Dome kata ya  Ndembezi katika Manispaa ya Shinyanga  imekabidhi kwa Jeshi la Polisi Vitu mbalimbali zikiwemo nguo zinazoshabihiana na sare za askari wa  Jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ,ambavyo vilitelekezwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni wahalifu.



Akikabidhi vifaa hivyo kwa afisa  Mwakilishi wa Jeshi la Polisi Inspekta ZAINABU MANGALA,kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Jumamosi Disemba 17,   Mwenye kiti wa mtaa wa Dome SOLOMONI NALINGA, amesema kuwa vitu hivyo zikiwemo nguo zinazoshabihiana na sare za Jeshi la wananchi wa Tanzania J.W.T.Z, mita ya maji moja ,mashuka mawili, nondo moja ,baskeri tano   vilitelekezwa na watu wasiofahamika wanaosadikiwa kuwa ni wahalifu.

                      -
Mwenyekiti huyo amewaomba wananchi kutoa Taarifa pale wanapobaini kuna viashiria vya watu wahalifu katika eneo hilo pia awetaka wananchi kuenderea kufanya dolia kila siku ilikuzuia hualifu.

Kwa upande wake Afisa huyo wa Jeshi la Polisi  insipekta ZAINABU MANGALA amepongeza Jitihada zilizopo baina ya  viongozi na wakazi wa mtaa wa Dome  katika suala la kuimarisha ulinzi na usalama wa mali na raia.
Afisa huyo wa Jeshi la Polisi amewaomba wananchi kutoa taarifa Pale wanapobaini kuwepo  viashiria vya  uhalifu.

Image result for picha ya mataili ya gari kuchomwa moto




aidha AFISA WA JESHI LA POLISI ZAINABU amewataka watu wote kuto kuchuma mataili ya magari wala kulipua baruti katika msim huu wa sikuku kwani yoyote ataehusika atakamatwa pia amewataka watu wanao jihusisha na kutoa pesa na kuweka pesa kufunga shunguli yao itapofika saa mbili usiku hapo hapo akawataka watu wa baa kufungua baa mda wakazi nimarufuku nakuimezwa kufunga baa zao saa nne usiku 

No comments