Nahreel NAJISIKIA KUTOA WIMBO MDA WOWOTE ,,,,,, AIKA BADO KIDOGO
Nahreel NAJISIKIA KUTOA WIMBO MDA WOWOTE ,,,,,, AIKA BADO KIDOGO N
Add caption |
wasani wanao unda kundi la NEVIKEZO baada ya ya kutoa wimbo ya kamatia ambao umekua niwimbo ambao unapendwa na watu walika zote na kuchezwa na media mbalimbali za ndani ya nchi na nje ya inchi
wasani wakundi la nevikezo wakati wakizungumza na presenter sylas denis wa redio faraja fm ambapo sylas alitaka kujua baada ya wasaii hao kutamba na wimbo wa KAMATIA kunamwimbo ambao wamesha record hata wimbo wowote
NEVIKENZO wamesema kuwa kuna nyimbo tatu ambazo teyali wamesha record na zime ipo teyali na mda wowote wanaweza kuziachia kuna wimbo ambao wame FT ALLY KIBA
wana wataka mashabiki kukaa mkao wa kula mda wowote ngoma zina toka mfululizo
Post a Comment